UHONDO WOTE

SONGEA: BASI LA KAMPUNI YA SUPER FEO LAPINDUKA NA KUUA



Watu wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 wamejuruhiwa baada ya basi la kampuni ya Super Feo kupinduka katika eneo la Sanangula nje kidogo ya mji wa Songea.


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Share Story hii:

Facebook Google+ Twitter

0 Response to "SONGEA: BASI LA KAMPUNI YA SUPER FEO LAPINDUKA NA KUUA"

Post a Comment