UHONDO WOTE

AGE IS JUST A NUMBER: JAMAA ATHIBITISHA HILO!!!!


Kutoka katika Gazeti la THE MIRROR: Kijana Kyle Jones, 31, kutoka Augusta, Georgia amekuwa na mahusiano ya KIMAPENZI  na wabibi wenye miaka kati ya 71, 63, 61, 52 na 50.
Amekili kuwa na mahusiano na wabibi watano wakati fulani. Ila kwasasa yupo na kwenye mahusiano ya kimapenzi na bibi wa miaka  91 anaeitwa Marjorie McCool ...Duh na  KWICH KWICH kama kawa!!!!!!

Akieleza kwanini anawapenda wazee alisema; "I like the neck lines and wrinkles"
yaani anapenda mikunjo na mistari ya kwenye shingo ya mabibi hao.

Kilicho Niuazaidi

Jamaa huwa anawapeleka kwa Mama yake amabae ana umri wa miaka 50..na MAZA hana NOMA wala nini...HATARI SANA ...
Jamaa akiwa na DEMU wake pamoja na MAZA
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Share Story hii:

Facebook Google+ Twitter

0 Response to "AGE IS JUST A NUMBER: JAMAA ATHIBITISHA HILO!!!!"

Post a Comment