UHONDO WOTE

HATIMAYE DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA MENINAH


Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana na Wema Sepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoa na Meninah Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa. “Unajua hizi habari kiukweli zimekuwa zikinihuzunisha sana,” amesema msanii huyo. “Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendi kuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti huwa sipendi kuzungumzia kabisa, kwa kuwa najua kabisa siwezi kubishana na media kwakuwa media ni kubwa, maana najua utaongea na huyu na yule siku ya siku utagombana na watu. Ndio maana huwa nakaa kimya,” ameongeza “Kusema ukweli hili suala limekuwa likiniumiza ‘eti sijui kuna vikao vya harusi mie nataka kumuoa Meninah’ Kusema ukweli sina mahusiano na Meninah. Kila mtu anajua mie nina mahisiano Wema. Wema ndo mpenzi wangu, ila wakati mwingine nakuwa naelewa ile inakuwa ni trick ya kibiashara. Mtu anajua hata nikimuandika vipi ‘Diamond sijui kafanya nini watu hawawezi kumchukia! Kwahiyo wanaamua kunitengenezea chuki na maadui kwa watu kuwa nipo na mwanamke wangu halafu namsaliti.”Meninah “Unajua kitendo hicho hatamaye kinaniudhi naona mtu yupo na mpenzi wake halafu anamsaliti. Najua hicho ni kitendo ambacho kila mtu hakimpendezi. Kwahiyo wanaamua kunitengenezea chuki na maadui kupitia njia hiyo. Labda wana wasanii wao, sasa wanaona tukiingia kwa njia hii tutaweza kuamharibia Diamond. Ndioa siku zote nimekuwa kimya tu ila sina mahusiano na Meninah. Mie nikiwa na mtu huwa sifichi naweka wazi kabisa. Hata kama leo nimeachana na Wema nasema tu, why nifiche? Mie katika mambo yangu huwa simuogopi mtu kama ningekuwa nataka kuoa basi ninge weka wazi why nifiche?? MSIMAMO WANGU➡1.SITAONGELEA TETESI ZA HAYA MAHUSIANO SBB MAPENZI HAYAINGILIWI..2.SITAPIGA KURA WALA SITAPROMOTE UPIGAJI KURA KWA DAI MPK WEMA ATAKAPOFUNGUKA! 3.UKIMKASHFU WEMA SITAKUACHA!!💪 From ma bebe @usipojipangantakupanga

SHOGA AKIFUNGUKA BILA AIBU....MUNGU TUSAIDIE!!!

KIZAZI KILICHOPOTEA.....HEHEHEHE NOUMA SANA!!!


TABIA GANI HII KUWAFANYA WANAWAKE HADHARANI NAMNA HII......



CHUI AMUUA MWANAFUNZI

Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi.

Msimamizi wa mbuga

hiyo Riaz Khan amesema mvulana huyo alikuwa amevuka ua unaomfungia Chui huyo hatari.
Ripoti za mwanzoni zilimtaja mvulana huyo kuwa mwanafunzi.
Picha za televisheni zilionyesha mwanafunzi huyo akiwa amejibana ukutani akijaribu kujikinga huku Chui huyo akiwa amesimama karibu naye.
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, mvulana huyo alikuwa amejiegemeza kwenye ua huo uliokuwa mfupi sana.
''Mwendo wa saa saba unusu tulikuwa katika eneo lililo na wanyama wengine tuliposikia mayowe," Himanshu aliyeshuhudia tukio hilo aliambia CNN.
''Nilikimbia nikielekea eneo ambalo Chui huyo alikuwa amefungiwa, nikapata Chui Buka mweupe amemuuma mwanafunzi huyo shingoni huku akilia na kufurukuta kwa uchungu.
Watoto wengine walijaribu kumrushia chui huyo vijiti na mawe.
Mvulana huyo aliumia kwa zaidi ya dakika kumi bila yeyote kumsaidia"


Himanshu alisema polisi walifika ''haraka sana" lakini hawangeweza kumwokoa kijana huyo.
Kituo cha habari cha Reuters kilimnukuu mwelekezi wa hifadhi ya kitaifa ya wanyamapori ambayo inasimamia mbuga ya Delhi bw. Amitabh Agnihotri, akisema ameshtuliwa sana na kisa hicho.
''Bado sina uhakika kama kijana huyo aliruka ndani ya mbuga ama aliteleza kibahati mbaya," aliongeza.
Mwili huo umepelekwa kufanyiwa upasuaji ili kuthibitisha kilichotendeka huku polisi wakianzisha uchuguzi kuhusu tukio hilo.
bbc swahili

PICHAZ: HAPA BONGO KUNA MASOGANGE, KENYA KUNA HUDDAH,VERA NA CORAZON...SASA GHANA KUNA HUYU...ANAITWA HAJIIA...

Huyu ni zaidi ya hao wote...kwamaoni yangu..kuanzia uzuri hadi CLASS ya Kimaisha





UKITAKA KUOA....MUANGALIE KWANZA MAMAMKWE.....CHEKI PICHA

Huyu ni mwanadada Kim Kadashian akiwa na mama yake.....

SIO UNAKULUPUKA TU KAMA HUYU

SIZE MATTERS: CHEKI PICHA HIII..HEHEHEHE

POMBE NINOMA SANA....BAADA YA KUNYWA POMBE KUPITA KIASI

PICHA ZAIDI (WAKUBWA TUU!!>>>>NEXT PHOTO

VIDEO YA UTUPU ILIYO LEAK MTANDAONI YAMTESA MSANII NYOTA NDOGO


Mwanamuziki makubwa hapa Afrika Mashariki, Nyota Ndogo kutoka nchini Kenya amejikuta katika wakati mugumu baada ya kugundua kuwa amerekodiwa video kwa siri wakati yupo chumbani anapaka mafuta huku akiwa MTUPU. Hii ilitokea baadaa kumaliza KUPAFOMU na kupelekwa CHANGING ROOM ambako ndiko video hii ilichukuliwa kwa siri.

Soma hapa alichoandika kwenye ukurasa wake wa FACEBOOK



Naomba hii iwefundisho kwa wasanii wote wakike. Pole sana Nyota Ndogo....Daah ila isiwe mambo ya kutafuta.....Kozi umepoatea sana kwenye GEMU

OBAMA AAPA KUANGAMIZA ISLAMIC STATE


Rais wa Marekani Barack Obama amesema Marekani itashambulia kundi linalojiitaa Islamic state kote nchini Syria na Iraq ili kuwanyima kabisa makao ya kujificha .

Bw Obama amesema kushiriki kwa mataifa kadhaa ya kiarabu katika mapambano hayo kunaonyesha wazi hivyo si vita vya Marekani pekee bali wao ni sehemu ya muungano wa mataifa yanayopigana na kundi hilo liitwalo pia ISIL.

Pia amekiri kuwa mashambulio hayo yamelenga pia wale aliowataja kuwa wanamgambo sugu wa al Qaeda wa kundi liitwalo Khorasan ambao anasema wanalenga kuishambulia Marekani.
Nazo taarifa za jeshi la Marekani zasema malengo ya mashambulio yaliyofanywa yametimia.

Wanamgambo kadhaa wa IS wameripotiwa kuuliwa japo vifo vya raia pia vimeripotiwa.


Mapema msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi Alexander Lukashevichy amesema mashambulio yoyote dhidi ya ISIL ni sharti yazingatie sheria za kimataifa.

Kadhalika Obama, amesema kuwa kuhusika kwa nchi za kiarabu katika vita dhidi ya wanamgambo wa Islamic State nchini Syria ni dalili toshja kuwa vita hivi sio vya Marekani pekee.

Obama amesema ataendelea kukusanya jeshi la kimataifa dhidi ya wapiganaji hao.
Saudi Arabia, Milki za kiarabu,Jordan na Bahrain zote zilituma ndege za kijeshiu katika opereshei hiyo.

BBC SWAHILI

TANYA AIGIZA AKIWA MTUPU KWENYE SCENE YA HOUSE OF LUNGULA

Mwanadada Saraha Hassan a.k.a Tanya kutoka Kenya ameigiza akiwa utupu kwenye moja kati ya vipande (scenes) za vichekesho vya mapenzi nchini Kenya, vijulikanavyo kama HOUSE OF LUNGULA...Vichekesho hivyo kwasasa vimepigwa marufuku kuonyeshwa kwenye TV za Kenya.
Tangazo la vichekesho hivyo linapatikana YOUTUBE ambapo ni zaidi ya watu laki moja hulitazama kila baada ya muda mfupi.
Unaweza kutazama  "House of Lungula” kwa  dola 3.99 kupitia BUNI TV, kwa link hii www.buni.tv/lungula

ZAIDI

REVEALED!!! HOT S3XY PHOTOS ZA IRENE OWOYA!!!!

Kubali ukatae huyu mwamama ni MSUPA.....toka siku ya kwanza namuona kwenye Movie hadi leo bado ananibamba (sio kwenye uigizaji...ni UMBILE LAKE).......Check out hizi recent picha za  mama huyu ...

KUTANA NA MANZI WA MSANII JOSE CHAMELEONE!!!..[PICHA]

MAHEEDA AMEENDELEA KUTOA PICHA TATA!!! (+18)

Mwimbaji maarufu inchini Nigeria MAHEEDA ameendelea kuweka picha ambazo ZINA HATARI kwasisi wazee wa ..... huko INSTAGRAM......Zitazame kwa makaini .....PAPUCHI imebanwa sana na kanguo  Duh!!!!..ETI ANAPIGA TIZI......Msiba huu




MSANII MEZ B, MTOTO WA MCHUNGAJI AKIWA NA TOTO MBILI NYONYO NJE NJEEEE TAYARI AMESHAMJUA M'BAYA WAKE ALIYEVUJISHA HIZI PICHA


Kumbe ilikua mwaka Jana wakati Ana shoot Video ya Shemeji maeneo ya Mikadi Beach alipomaliza wakatokeza hao wadada wawili inaonekana ni MTU Na Dada Yake maana wamefananaàa shingo zao Kama jogoo, walikua wanaogelea eti wakamwomba wapige picha Mez B akachomoa lakin wadada wakaendelea kusisitiza eti Director wake Wa Video akam ng'ata sikio kuwa wakubali kupga picha Kwa Camera Ya Director Kwa ahadi kuwa wakitoka hapo atazi delete, picha zikapigwa Na MezB anakuja kushtuka HV karibun wakat picha zimevuja Na alipomuuliza Director akamjibu kuwa huenda kijana flan ambaye alikua anafanya kazi Na Producer ndio atakua amevujisha picha Kwa sababu walikua wamegombana Na Director, Mama Mez B ambaye ni Mchungaji bado hajazipata taarifa hizi Je akizpata itakuaje? 

CHANZO: SOUDBROWN via INSTAGRAM

BAD GIRL: MUIMBAJI WAKIKE NIGERIA AMEWEKA VIDEO INSTAGRAM KUFUNDISHA WATU KU-DO


Muimbaji  mapepe  Caroline Sam, maarufu kama  Maheeda, kutoka Nigeria amesema huwa anaboreka  watu kutowajibika vizuri  wakati wa KWICH KWICH....HATARI SANA...Sasa kaamua kutoa Darasa

Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Maheeda ameweka video akiwa anacheza   STAIRI TATA huku amevalia vazi la HATARI..
Nakuandika hivi
Is very disappointing when a guy or a lady can not perform well! I had a bad experience on that, I feel like say make “guy dem know teach you ?” Shm! Pls go do your home work ohhh!! before you go come for one sec!
Enjoy Videos mdau!!


HIZI CHUPI (G-STRING) MPYA ZA KIKE NI SHIDAA......[KWA WANAWAKE TU]

Kama kawaida tasnia ya FASHENI inabadirika kila siku...Lakini huu ujio wa hizi  CHUPI zinazoitwa Shibue Strapless Panty ni Nouma......Hizi wameziita ni chupi za miujiza, kwani zimetengenegwa kwa MATIRIO ambayo huweza kukabiliana na  mabadiliko ya  MAKAO MAKUU katika hali yoyote ile .....hehehee....hivyo kumfanya mwanamke awe COMFOTABO  (Kama unavyojua tena makaomakuu kuma mengi pale). Tofauti na chupi zingine aina ya G-String chupi hizi huwaliawa kuanzia juu ya Uke na mpaka kwenye mwisho wa uti wamgongo...Jionee picha  hapa.. Then niambie unaona vipi...

 Uvaaji wake sasa

 

KWA WAZAZI TU: HAWA WATOTO UNGEWAFANYA NINI?

PENZI LA DIVA NA GK MTEGONI!!!.....KISA...... PICHA INSTAGRAM

Penzi la mastaa  wetu wa  bongo, Diva ambaye ni mtangazaji wa Clouds FM na King Crazy GK ambaye ni msanii wa bongo flava....Limeingia kwenye mtego baada ya Diva kuweka PICHA kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM akiwa ana KISS na mfanyakazi mwenzake a k a Handsome wa Cloudsfm....PATAMU HAPO...Katika kuelewa kuwa picha hii ni tata, Diva aliandika maneno haya jini ya picha hiyo;
handsome boy wa cloudsfm ... My baby akiona hii Picha je? unahisi atakasirika au?! lol
 ...Tunasubiri kusikia upande wa GK.......Dah!! ila huyu mdada PRESHAPRESHA

SHOCKING PHOTO: HUDDAH MONROE ASHANGAZA WENGI KWA VAZI LAKE!!

Huddah alitupia vazi hili akiwa Club...Cheki kwa makini then tupia neno moja kwake!!!

HAPA SASA

PICHA ZA MTAGAZAJI WA CHANEL TEN NA MAGIC FM, SALMA MASANGI AKIWA NA VINGUO ZA KUONGELEA HUKO BEACH!!!